Kwapa Limenipa Madili - Suzy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

kwapa Limenipa Madili Suzy
BAADA ya kuandamwa mitandaoni kuwa anakera kwa kufuga nywele za kwapani na kuzianika, mtangazaji Suzan Benard ‘Suzy’ amefunguka kuwa kwapa limempa madili.

Akichonga na Za Motomoto, Suzy alisema anawashangaa waliokuwa wakimnanga mitandaoni bila kujua kwamba ana malengo yake ambayo yameanza kutimia.

“Nimepata madili mengi tu mojawapo ni la mafuta ya kujipaka mwilini (anataja jina), sasa waendelee kuchonga mwenzao nitaendelea kuzifuga na kuzitunza zaidi ya hapa,” alisema Suzy.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad