AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leandro Trossard alifunga bao la kwanza dakika ya 13, kabla ya H. Vanaken kuisawazishia Club Brugge kwa penalti dakika ya 36. Mbwana Samatta akapiga shuti likambabatiza beki wa Club Brugge na Ruslan Malinovskiy akaenda kufunga kwa penalti dakika ya 55.
Samatta mwenye umri wa miaka 26, usiku huu amecheza mechi ya 150 kwenye mashindano yote na akiwa amefunga mabao 60 tangu amejiunga na KRC Genk Januari mwaka 2016 akitokea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK