AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aly Soumah baada ya kurudishwa kwao amepata ajali ya gari katika eneo la Kindia nchini kwao Guine na baadae kufariki, Soumah kwa bahati mbaya alirudishwa nyumbani kwao Guinea mapema baada ya kufeli vipimo vya MRI ambavyo vinatumika kutambua umri wa mchezaji kama kavuka umri wa miaka 17.
Hivyo kutokana na kipimo hicho kumuonesha kuwa kavuka umri alilazimika kurudishwa kwao kabla ya mchezo wa ufunguzi wa AFCON kati ya timu yake ya Taifa ya Guinea katika uwanja wa Chamazi Dar es Salaam dhidi ya Cameroon ambapo katika mchezo huo Cameroon walishinda 2-0.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK