AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chanzo kimoja kimeelezakuwa maamuzi hayo yalikuwa ya kawaida tu na hakukuwa na sababu rasmi ya kuvunjika kwa ushirikiano wao. Hii imekuja baada ya Nicki kuandamwa na matatizo kadhaa ya kiufundi kwenye steji ambapo wiki iliyopita alipata tatizo la sauti kwenye shoo iliyofanywa na Coachella akishirikiana na Ariana Grande. Tatizo hilo limekuwa sugu kwani miezi kadhaa nyuma lilimwandama na kulazimu kusogeza shoo mbele.
Hilo ni moja ya matatizo mengi yanayomwandama Nicki tangu mgogoro wa kuachia albam yake ya Queen mnamo Agosti 2018, mbali ugonvi wake na mwanamuziki Cardi B.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK