Rais Karia kaiomba kamati ya RC Paul Makonda kuhamishia nguvu kwa Serengeti Boys

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa shirikisho la soka Tanzania TFF Wallace Karia ameongea na vyombo vya habari leo kuhusiana na maandalizi ya michuano ya mataifa ya Afrika AFCON U-17 yatakayofanyika Tanzania kuanzia April 14 2019 katika viwanja vya Chamazi na Taifa.

Kuelekea michuano hiyo Rais wa TFF Wallace Karia amemuomba mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kupitia kamati yake ya kuhamasisha Taifa Stars ishinde, kuhamishia nguvu kwa kuisapoti Serengeti Boys ishinde michuano ya AFCON U-17 na kufuzu kucheza fainali za Kombe la dunia la vijana.

“Nilimuomba Rais Magufuli kuwa mbali ya kuwa RC Makonda ana majukumu mengi kwa kazi yake ya mkuu wa mkoa lakini nilimuomba kuwa aendelee kutusaidia, angalau yeye na kamati yake waweze kuendelea kwenye mashindano hayo ya AFCON U-17 kuhakikisha inafanya vizuri katika mashindano hayo”>>> Rais wa TFF Wallace Karia
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad