AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuelekea michuano hiyo Rais wa TFF Wallace Karia amemuomba mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kupitia kamati yake ya kuhamasisha Taifa Stars ishinde, kuhamishia nguvu kwa kuisapoti Serengeti Boys ishinde michuano ya AFCON U-17 na kufuzu kucheza fainali za Kombe la dunia la vijana.
“Nilimuomba Rais Magufuli kuwa mbali ya kuwa RC Makonda ana majukumu mengi kwa kazi yake ya mkuu wa mkoa lakini nilimuomba kuwa aendelee kutusaidia, angalau yeye na kamati yake waweze kuendelea kwenye mashindano hayo ya AFCON U-17 kuhakikisha inafanya vizuri katika mashindano hayo”>>> Rais wa TFF Wallace Karia
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK