AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mazungumzo hayo ni zoezi la kawaida, kutokana na matokeo ya uchaguzi mkuu wiki iliyopita.
Chama tawala cha Likud pamoja na vyama vya jadi vya kizalendo pamoja na vyama vya siasa kali za dini y Kiyahudi vina wingi wa viti 65 hadi 55 bungeni na vinatarajiwa kuelemea kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu.
Rivlin ameanza mikutano yake leo na maafisa wa chama cha Likud. Baadae atakutana na wajumbe wa vyama vingine 10, kwa utaratibu wa makundi makubwa na kisha madogo, kusikiliza mapendekezo yao, kabla ya kumteua rasmi mgombea anayeamini ana nafasi ya kujenga wingi bungeni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK