AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamesemwa na mkurugenzi mkuu wa TPA Mhandisi Deusdediti Kakoko jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa ya hali ya bandari na mikakati iliyopo sasa.
Aidha mkuu huyo amebainisha njama chafu ambazo zimepangwa na baadhi ya watu kutaka kutorosha makontena ya mizigo katika sikukuu hizi za pasaka ambayo imeagizwa na nchi za jirani.
Kuhusu hali ya mizigo bandarini amesema kwa sasa mizigo ni mingi kiasi kwamba wamelazimika kubuni sehemu zingine za kuhifadhia mizigo hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK