AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Saudia ilitekeleza jambo hilo kwa kuwakata vichwa watu 37 katika miji sita nchini humo, Wizara ya usalama wa ndani ya Saudia ilisema watu hao ambao wote ni raia wa Saudi Arabia walinyongwa kwa kuhusishwa na ugaidi.
Na sasa Bachelet amesema anasikitishwa kwa kutofuatwa kwa sheria na utaratibu wa kimahakama kutokana na madai kuwa washukiwa walikiri kujihusisha na ugaidi baada ya kuteswa.
Ameutaka uongozi wa Saudi Arabia kuangazia upya sheria za kupambana na ugaidi na kusimamisha mauaji yaliyokuwa yamepangiwa kufanywa, yakiwemo ya watu watatu ambao bado wanakabiliwa na hukumu ya kifo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK