Wanaume 10 Walioingia Hifadhi ya Mikumi Kinyume na Sheria Watoweka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wote ni wakazi wa Kijiji cha Ruhembe, inaelezwa kuwa waliondoka kwenda kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya Hifadhi ya Mikumi kinyume cha sheria

Waliingia ndani ya hifadhi hiyo mnamo Aprili 2 mwaka huu na baada ya hapo hawakurejea tena kwenye familia zao

Jeshi la Polisi limewataka Wananchi kuwa watulivu wakati jitihada za kuwatafuta zikiendelea  


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad