AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waratibu hao ambao wamekuwa nyuma ya maandamano hayo ya miezi minne wamechapisha taarifa yao hiyo leo inayosema watatangaza kuundwa kwa baraza hilo la kiraia watakapokutana na waandishi wa habari siku ya Jumapili.
Jeshi la Sudan lilimuondoa rais Bashir wiki iliyopita na kuunda baraza la mpito la kijeshi kutawala nchini humo kwa kipindi kisichozidi miaka miwili lakini waandamanaji wamekuwa wakishinikiza kuundwa kwa baraza la mpito la kiraia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK