AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Gazeti la Ijumaa, Rose alifunguka kuwa mastaa wengi wanapokuwa akili hazijakomaa vizuri, hufanya mambo mengi ambayo siyo sahihi, lakini kuna wakati unafika akili inakomaa, lazima maisha yapige hatua.
“Unajua huko nyuma unaweza usijue kama kuna maisha yanatakiwa yasonge mbele, lakini kama hauko tayari kubadilika kiakili, basi huwezi kusonga mbele.
Mimi niliacha utoto na kukubali kuwa ni mama Naveen na kila kitu kikanyooka,” alisema Rose ambaye ni mama wa mtoto mmoja.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK