Ajari ya Gari Yaua Mwanafunzi Mmoja Manyara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanafunzi wa shule ya msingi Silver Mjini Babati Mkoani Manyara, Osiligi Paul mwenye umri wa miaka mitatu na miezi sita amefariki dunia baada ya kutokea ajali mbaya.

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Manyara, Augostino Senga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyohusisha basi la kampuni ya Mtei kugongana na basi dogo aina ya Hiace eneo la Himiti mjini Babati.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad