AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Masanja amesema kuwa Polisi wakishafanya uchunguzi tutajua na atakuwa na kitu cha kuzungumza huku akisema kuwa ile video kwa mujibu wa maelezo ya mhusika alisema imetengenezwa kwahiyo tusubiri uchunguzi.
"Yah nina lolote kwasababu ishu iko Polisi na wanafanya uchunguzi tutajua baada ya uchunguzi kumalizika from there tutakuwa na kitu cha kuzungumza ," alisema Masanja.
"So Far sio kweli ile picha inayoonekana pale sio yeye inaonekana imetengezwa kwa mujibu maelezo yaliyopo kwahiyo tunasubiri tuone na uchunguzi utakavyofanyika tuone ni nani."
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK