AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo na Waandishi wa Habari, Mbwana Samatta amesema ni jambo jema kama Watanzania kusaidiana na uchangiaji wa mambo ya kijamii hasa katika elimu usiishie siku ya mchezo huo pekee.
Kwa upande wake Alikiba amesema kuwa, "Mimi na Samatta hatujawahi kukaa na kuzungumza mambo ya kuisaidia jamii, lakini siku zote mtu mwema anakutana na mtu mwema na tulivyoanza tulianza katika kama utani lakini leo hii imekuwa kitu kikubwa" .
Ameendelea kwa kusema, "Sisi kama SAMAKIBA Foundation tulianzisha taasisi hii kwaajili ya kusaidia jamii, wengi wanaweza kuisaidia jamii lakini ni lazima uwe na huo moyo wa kusaidia".
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK