AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Za Motomoto, Aunt alisema kuwa ingawaje kampoteza mama yake muda mrefu lakini kuna kipindi anakaa na kumkumbuka sana huku akitamani hata dakika chache cha kuzungumza naye.
“Unajua kuna kipindi unakutana nacho unatamani mtu wa kuzungumza naye lakini ndani ya moyo unaona mtu wa kumueleza ya moyoni ni mama yako na yeye hayupo wala huwezi kumuona,” alisema Aunt kwa uchungu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK