AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BASI la abiria la kampuni ya Sweet Africa lililokuwa linatoka mkoani Njombe kuelekea Dar es Salaam, limepata ajali leo majira ya asubuhi maeneo ya mlima Kitonga mkoani Iringa.
Taarifa za awali zinasema hakuna vifo isipokuwa abiria kadhaa wamejeruhiwa na wamekimbizwa hospitalini kwa akiwemo dereva wa basi ambaye amevunjika miguu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK