AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndege hiyo binafsi imekuja kutokana na dili ambalo Drake alisaini na kampuni ya Cargo Jet, ambapo kampuni hiyo ya ndege ina makazi yake nchini Canada. Inaripotiwa kuwa mmiliki wa Cargo Jet, Ajay Virmani, ameingia makubaliano ya kibiashara na Drake, hivyo kutengenezewa ndege hiyo inayotajwa kuwa ni moja ya makubaliano ya mkataba wao.
Drake anatajwa kuwa ni miongoni mwa mastaa wenye pesa nyingi Marekani ambapo aliwahi kununua nyumba yenye thamani ya Tsh Bilioni 6 za Tanzania ambapo pia inaelezwa kuwa anamiliki nyumba tatu zilizomgharimu zaidi Sh. Bilioni 10 za Tanzania.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK