Hemed "Ningekuwa na Mzuka na Mastaa wa Bongo Ningetembea Nao Wote"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MSANII wa filamu za Kibongo, Hemed Suleiman ‘PHD’ amefunguka kuwa hajawahi kumshobokea staa yeyote wa kike ndani ya Bongo Muvi na hatafanya hivyo.  Staa huyo, alisema wanawake wengi wanafikiri kuwa anaringa na kujisikia lakini ukweli ni kwamba hajaona wa kutoka naye Bongo Muvi ndiyo maana anawapigia kimya.

“Hili nalisema kila wakati, ningekuwa na mizuka na mastaa kwa kweli ningetembea nao wengi, lakini mimi sitaki kwa sababu bado sijaona wa kutoka naye… cha msingi nafurahi tayari nina watoto wangu, hilo nashukuru Mungu,” alisema Hemed.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad