Irene Uwoya Atoa Siri ya Kuitwa 'Sister'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mlimbwende kutoka kiwanda cha bongo movie, Irene Uwoya ameibuka na kutaja asiri yake ambayo hajawahi kuisema kwamba, alipokuwa akisoma sekondari alikuwa akivaa sketi ndefu mpaka chini kitendo kilichosababisha wanafunzi wenzie wampe jina la sista.

Uwoya amesema kuwa wakati ameanza kidato cha kwanza alikuwa mpole sana, wazazi wake wakamshonea sketi za shule ndefu mpaka mguuni kiasi ambacho wenzie walikuwa wakimtania na kumuita sista na kwa wakati huo alikuwa akiona kawaida tu.

“Yaani huwezi amini mtu akiniletea zile sketi leo naweza nisimuelewe kabisa na nitamshangaa sana, lakini mimi nilikuwa nazivaa wenzangu wananitania na kuniita Sista Irene", amesema Uwoya.

Uwoya amekuwa akiingia katika malumbano na mashabiki wake kutokana na uvaaji wake wa nguo fupi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad