Katibu Mkuu CCM akerwa na wanasiasa kuingilia utoaji huduma za afya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally ameeleza kusikitishwa kwake na matukio ya wanasiasa kuingilia utoaji huduma za afya na kudhalilisha watoa huduma.

Amesema hakuna mtu anayewatuma kufanya hivyo na kuwataka wadau wote kushirikiana kwa kuwalinda wataalamu wa wafya dhidi ya udhalilishaji.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad