AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Baada ya lile tukio kuna mtu mmoja aliandika katika mitandao ya kijamii kuwa Kakobe na Gwajima wamewaacha wananchi. Sasa atakayefuata ni Kakobe, kwa hiyo mnanitengenezea video na mimi nawaambia katika miaka 30 ya huduma hii nimekwepa mishale mingi sana" – Askofu Zachary Kakobe
"Waliotengeneza video ya Gwajima wameshindwa, na nawatangazia huko waliko hata wakitengeneza ya Kakobe watashindwa kwa sababu kanisa la Mungu limejengwa juu ya miamba ambayo haitatetereka kamwe " Askofu Kakobe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK