AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli hiyo imekuja baada ya Mbunge wa Viti Maalum, Mariamu Kisangi (CCM) kuhoji Serikali ina mpango gani wa kupeleka mashine za kufulia nguo katika Hospitali za Dar es salaam.
“Tumejipanga kuboresha huduma zote na kununua mashine na madaktari bingwa naomba nilichukue tutatoa majibu ni lini ila tumeanza kuagiza,” amesema Ummy Mwalimu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK