AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa mtandao wa ‘The Blast’ umeripoti kuwa nyaraka kutokea Mahakama zimeorodhesha kuwa Meek Mill amedai hana hatia na shambulio lililofanyika na kusababisha vifo vya vijana hao huku upelelezi uliofanywa na Polisi ulidai kuwa vijana hao walihusika kwenye shambulio hilo kama washambuliaji.
Meek Mill amezidi kuiomba Mahakama kutoa jina lake kwenye shitaka hilo haraka iwezekanavyo huku akidai kuwa sio sahihi kumtuhumu yeye peke yake kati ya watu watatu akijumuisha kampuni ya Oakdale Musical Theatre pamoja na Live Nation citing ambao walitakiwa kuhusika kwenye suala zima la ulinzi na usalama.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK