Meek Mill aiomba Mahakama itoe jina lake kwenye kesi ya mauaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapper Meek Mill ameiomba Mahakama kumtoa kwenye shitaka la mauaji ambalo familia moja ya  Graves ilimuingiza baada ya vijana wao Jaquan Graves na Travis Ward kupoteza maisha kwenye tamasha lake mjini Connecticut mwaka 2016.

Kwa mujibu wa mtandao wa ‘The Blast’ umeripoti kuwa nyaraka kutokea Mahakama zimeorodhesha kuwa Meek Mill amedai hana hatia na shambulio lililofanyika na kusababisha vifo vya vijana hao huku upelelezi uliofanywa na Polisi ulidai kuwa  vijana hao walihusika kwenye shambulio hilo kama washambuliaji.

Meek Mill amezidi kuiomba Mahakama kutoa jina lake kwenye shitaka hilo haraka iwezekanavyo huku akidai kuwa sio sahihi kumtuhumu yeye peke yake kati ya watu watatu akijumuisha kampuni ya Oakdale Musical Theatre pamoja na Live Nation citing ambao walitakiwa kuhusika kwenye suala zima la ulinzi na usalama.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad