Moi Atakiwa Kulipa Ksh Bilioni 1.6 Kwa Kunyakua Shamba la Mjane

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais mstaafu wa Kenya, Daniel Arap Moi ameamriwa na Mahakama Kuu jijini Nairobi amlipe fidia ya Ksh. bilioni 1.6 Susan Cheburet Chelungui na mwanawe David Chelungui kwa kosa la kutumia mamlaka yake vibaya na kuwanyang'anya shamba familia hiyo mnamo mwaka 1983

Mjane huyo aliporwa shamba lake kwa njia ya udanganyifu huku maafisa wakuu Serikalini wakitumiwa katika udanganyifu huo na kisha kuliuza shamba hilo kwa kampuni ya Rai Plywood (K) Limited

Mahakama ilisema kuwa mbali na Rais Moi, sehemu ya shamba hilo pia iligawiwa kwa aliyekuwa Waziri msaidizi kwenye utawala wa Moi, Stanley Metto

Jaji Ombwayo alisema hakukuwa na ushahidi wowote kuonesha uhalali wa Rais huyo mstaafu kusajiliwa kama mmiliki halali wa shamba hilo  - #regrann
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad