AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamziki maarufu wa bongo fleva Nandy ameamua kumuajiri Mwachi mtoto wa marehemu Ruge Mutahaba kuwa offial DJ wake kuanzia tamasha ambalo ataanza nalo Sumbawanga siku ya EID.
Kauli hii imethibitishwa kupitia mtandao wa instagram baada ya Nady kukoment offialnady DJ na kuonekana kuwa nandy ameamua kumpatia Mwachi nafasi hiyo.
Hata hivyo watu wengi wamekuwa wakijiuliza maswali, uhusiano uliopo kati ya Nady na mtoto wa kwanza wa marehemu Ruge, hivi karibuni mwanamuziki huyo aliweka wazi mahusiano yake ya kimapenzi yaliyokuwepo kati yake na Ruge kwenye mahojiano na Millard Ayo.
Hata hivyo mashabiki wamekuwa na kiu ya kujua kama kweli Nady amempa shavu hilo Mwachi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK