AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pep Guardiola ambaye ameiwezesha Man City kutetea Ubingwa wake wa EPL msimu huu, kipengele hicho alikuwa akichuana na makocha wa Liverpool Jürgen Klopp, Tottenham Mauricio Pochettino na kocha wa Wolves Nuno EspÃrito Santo.
Man City wamefanikiwa kutwaa Ubingwa wa EPL kwa mara ya pili mfululizo, baada ya kufanikiwa kukusanya jumla ya poiny 198 ndani ya misimu miwili, chini ya Pep Guardiola (48) aliyewahi kuzifundisha club za FC Barcelona na FC Bayern Munich, Man City pia wanasubiri kucheza fainali ya FA May 18 2019 dhidi ya Watford.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK