Picha: Helkopta yaanguka mtoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hapo jana Helikopta mmoja ilipoteza mwelekeo na kuanguka katika mto Hudson mjini New York na kumjeruhi rubani ambaye aliokolewa akiwa na majeraha madogo tu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Idara ya Moto ya mjini New York (FDNY), Helikopta hiyo ilishindwa kutua kwenye pedi na kuanguka ndani ya maji,vyombo vya habari vya mitaa viliripoti.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad