Baba Matatani Kwa Kumbaka na Kumlawiti Binti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mahakama ya Wilaya ya Temeke imemsomea maelezo ya awali mshtakiwa Haruna Abdu(54) mkazi wa Mbagala Mwanamtoti kwa tuhuma za kumbaka na kumlawiti binti yake wa kumzaa(12)

Mwendesha mashtaka amesema kuanzia Januari 2017 hadi Februari 2019 mshtakiwa alikuwa akimbaka mwanaye huyo wa kumzaa na kumuingilia kinyume na maumbile na ilipofika Februari 2019, mtoto huyo alishindwa kwenda shule kutokana na vitendo alivyofanyiwa

Alisema alipohojiwa na mwalimu wake aliyefahamika kwa jina la Ngulula, mtoto huyo alimueleza kuwa alikuwa anafanyiwa vitendo hivyo na baba yake ndipo taarifa ilipotolewa kituo cha Polisi na mshtakiwa kukamatwa

Hata hivyo, mshtakiwa alikana shtaka mbele ya Mahakama 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad