AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru msanii wa filamu nchini Wema Sepetu kwenda jela siku saba wakati akisubiria uamuzi wa mahakama wa kumfutia dhamana.
Wema Sepetu anayekabiliwa na shtaka moja la kuchapisha video ya ngono na kusambaza katika mtandao wa kijamii wa Instagram.
Jumanne Juni 11, 2019 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ilietoka hati ya kumkamata mlimbwende huyo wa Tanzania mwaka 2006, baada ya kukiuka masharti ya dhamana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK