AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea leo kwenye eNewz ya East Africa Television, mkali huyo amekiri kuwa kama Fid Q anaona amekosea sehemu amsahamehe lakini ukweli ni kwamba wakiwa vijana wadogo walipitia msoto sana wa kutumwa na wakubwa zao.
''Mimi mwenyewe nimetumwa sana soda na nilikuwa naonana naye pale MJ Records kwahiyo kutumwa ilikuwa suala la kwaida na kama amemind naomba anisamehe'', amefunguka Dully.
Kwa upande mwingine Dully amesema dhana iliyopo sasa kuwa bifu za wasanii ndio zinaweza kumpandisha msanii sio kweli na kama ikiwa hivyo basi yeye hahitaji hilo na anatamani kuwa na historia nzuri.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK