AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi bibi huyo amefikia maamuzi ya kumchoma moto huyo kwa madai kuwa amekuwa akikojoa kitandani mara kwa mara.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo la Kamanda wa Polisi Morogoro Wilbroad Mtafungwa amesema mtoto huyo pia ni mwanafunzi wa chekechea kupitia tukio hilo limesababishia maumivu makali.
Katika tukio lingine Kamanda mtafungwa amesema Kamanda Mtafungwa wanawashikilia watuhumiwa watano wilayani Kilosa kwa tuhuma ya kuiba vifaa vyenye thamani ya millioni 36, mali ya Kampuni ya YARP MERKEZ ambayo inausika na ujenzi wa reli ya Kisasa ya Mwendokasi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK