AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Mombasa imemhukumu Hussein Idd kifungo cha miaka 30 jela na kulipa faini ya Ksh milioni 90 (zaidi ya bilioni 2 za Tanzania) kwa kukutwa na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya kilo 10 za Heroine Machi 2018 kwenye hoteli ya Regency, Mombasa
Hakimu Kagoni amesema, endapo Idd atashindwa kulipa shilingi milioni 90 za Kenya ataongezwa miaka mitano mingine jela
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK