AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zamani Mabibj Harusi walikuwa wakilia kwenye harusi. Matron walikua na kazi kuwafuta machozi
Sasa hivi Mabibi Harusi
Wanaimba
Wanacheka
Wanacheza Kwaito hadi viduku
Kilichokuwa kinawaliza wa zamani ni nini?
na kinachowafurahisha wa siku hizi ni nini?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK