Mabibi Harusi wa Zamani Walikuwa Wakilia Harusini, Wasikuhizi Siku Hizi Wanacheka na Kucheza, Sababu nini?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Zamani Mabibj Harusi walikuwa wakilia kwenye harusi. Matron walikua na kazi kuwafuta machozi

Sasa hivi Mabibi Harusi
Wanaimba
Wanacheka
Wanacheza Kwaito hadi viduku

Kilichokuwa kinawaliza wa zamani ni nini?
na kinachowafurahisha wa siku hizi ni nini?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad