AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kwa niaba ya Jeshi la Polisi tunatoa pole kwa Ndugu yetu Chacha kwa kuondokewa na Mwanafamilia katika kifo hiki ambacho hakijatarajiwa, ni cha ghafla na tumekipokea kwa masikitiko sana, hivyo tukuhakikishie tutaendelea kuwa pamoja nawe na msiba huu wa ghafla hauwezi kwenda hivihivi," Kamanda Mambosasa.
Aidha Kamanda Mambosasa amesema kuwa wahalifu hao watajibiwa kwa muda mfupi kwa kitendo walichokifanya kuondoa uhai wa mwanafunzi huyo.
Kamanda Mambosasa ameyasema hayo wakati wa kuuaga mwili wa marehemu Anifa Mgaya aliyekuwa Mwanafunzi wa Chuo cha Kampala Dar es salaam aliyeuawa juzi ikiaminika kuchomwa kisu na Wezi, Marehemu alizaliwa Februari 09, 1997.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK