Ronaldo atwaa tuzo ya mfungaji Bora UEFA National League.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mshambuliaji wa Taifa la Ureno, Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mfungaji Bora katika mashindano ya UEFA National League.

Ronaldo ametwaa tuzo hiyo baada ya kufunga mabao 3 katika mashindano hayo na mabao yote haya alifunga katika mchezo mmoja dhidi ya Uswisi.

Hapo bado, magoli yake matatu yameingia katika kinyang'anyiro cha kusaka goli bora akishindana na Matthijs de Ligt wa Uholanzi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad