Rubani afariki baada ya Helikopta kuanguka juu ya paa la jengo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rubani mmoja ameaga dunia baada ya helikopta kuanguka juu ya paa la jengo moja refu sana huko Manhattan mjini New York nchini Marekani siku ya jana majira ya mchana.

Kulingana na taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari, ajali hiyo ilitokea karibia saa nane mchana kutokana na ukungu na mvua. Moto uliosababishwa na ajali hiyo uliweza kudhibitiwa kwa haraka.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad