AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
AUNT Ezekiel amesema kwa sasa hana mpango wa kufunga ndoa na mpenzi wake mpya kwani anakula ujana kwanza. Aunt ambaye anafanya poa kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, amesema kwa sasa suala la kufunga ndoa halipi kipaumbele sababu maisha ya mke na mume ameshaishi na kufanikiwa kupata motto na Dansa, Moses Iyobo ‘Moze Iyobo’.
“Sifikirii ndoa kwa sasa, bado nakula ujana kwanza na mpenzi wangu Alfo mashabiki wanaosubiri ndoa yangu wanipe nafasi kidogo, acha nijiachie kidogo,” alisema Aunt.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK