AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji mwenzake ambaye pia ni rafiki wa karibu na Wema Sepetu, Aunt Ezekiel ameonekana kuguswa na amri hiyo iliyotolewa na Mahakama na kumkumbuka rafiki yake ambapo ametumia ukurasa wake wa instagram kupost picha nyingi za Wema na kuandika maneno ya matumaini kwamba ipo siku yote haya yatapita na Wema atabaki kuwa rafiki mzuri kwake.
“Ni vizuri pale watu wasiojuana kuwa marafiki lakini ni huzuni pale marafiki wawili wanapokuwa hawajuani tena ,Utabaki kuwa Rafiki Mzuri kwangu daima ,Inshallah hili Pia litapita 😢🙏” >>>aliandika Aunt Ezekiel
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK