AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amefariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu. Mteketa alikuwa Mbunge wa Kilombero kuanzia mwaka 2010-2015
Aliwahi kuomba msaada wa matibabu ya upasuaji wa goti lake kwa Rais Magufuli kupitia mitandao ya kijamii ambaye alimsaidia na kumpeleka kutibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili
Katika video yake alieleza namna anavyoteswa na vidonda hali iliyomlazimu awe anabebwa kwenda kuoga
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK