google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html TID amtaja adui yake na upasuaji atakaofanya | UDAKU SPECIAL

TID amtaja adui yake na upasuaji atakaofanya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msani it wa Bongofleva TID, ameweka wazi kuwa kitendo cha msanii Q-Chief kufurahia kupigwa kwake, kinaonesha kuwa yeye ndiye adui yake namba moja.


Akiongea kwenye Exclusive na Friday Night Live, TID amesema ''Q-Chief yeye ndio adui yangu namba moja, hapendi kuona mimi nafanikiwa ndio maana anafurahia mimi kupigwa''.

TID ambaye alipigwa siku ya Alhamis kwenye ugomvi uliotokea kati yake na watu wanaodaiwa kuwa alikuwa nao kwenye sehemu ya starehe ambapo anasema yeye ndio alisababisha ugomvi kwa kumwambia mgomvi wake kuwa anajipendekeza.

Pia ameongeza, ''Nimeshatoa ripoti polisi lakini jamaa ni wazoefu wa hizi mambo kwahiyo wamefanya tena ila mimi nitakomaa na sheria mpaka nipate haki yangu''.

Kuhusu kuumia pua yake mkali huyo wa kuimba na kucheza na jukwaa, amesema atafanya upasuaji. ''Huwezi amini pua yangu inaonekana kama Michael Jackson, ila nitaenda kufanya 'Plastic surgery' kurekebisha pua yangu''.




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad