AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika hotuba yake Trump amegusia masuala ya utoaji mimba, familia, umiliki silaha, na ukuaji wa uchumi wa taifa hilo na kueleza kuwa 2020 asipochaguliwa hali itakuwa mbaya zaidi.
Kwa sasa Trump anapingwa vikali na baadhi ya raia na wanasiasa wa taifa hilo lakini yeye mwenyewe ameuthibitishia umma kuwa atagombea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK