Amber Lulu Alia na Pombe Kumponza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MSANII wa Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amefunguka kuwa pombe ndiyo imemharibia kila kitu na kumsababisha aonekane kituko kwenye jamii. Akizungumza na Ijumaa, Amber Lulu ambaye alifanya kituko kwenye Shindano la Miss Kinondoni,

lililofanyika wikiendi iliyopita baada ya kumtolea maneno machafu DJ wa siku hiyo kwa kumwambia wanashea ‘bwana’ ambapo alisema hayo yote yalitokana na ulevi hivyo mpaka sasa anajutia na ndiyo maana aliomba msamaha kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram.

“Unajua pombe inaweza kukuharibia kila kitu na ndivyo ilivyotokea kwangu, yaani imenifanya kwa sasa niichukie kwa sababu imenifanya kuwa kituko kwenye jamii yangu inayonizunguka kitu ambacho siyo kizuri,” alisema Amber Lulu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad