Bora Ungenipiga tu Yaishe..Kuliko Adhabu Hii ya Kimya Kimya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jamaa yangu mmoja ameoa na wamebahatika kupata mtto mmoja alichaguliwa kwenda kwenye majukum ya taifa nje ya nchi kwa muda wa mwaka mmoja aliporudi akasikia tetesi mke wake alikuwa anavunja ile amri na jamaa fundi seremala mmoja wa pale kitaa, jamaa hakutilia maanani izo taarifa lakini baadae zilikuja kuwa kero kwenye maskio yake kutokana na watu wengi kumwambia the same story ikabdi jamaa aanze kufuatilia ilo suala kwa ukaribu siku moja akawa mkoa jirani tu ktk majukum yale yale ilipofika weekend akachomoka kisela tu kwenda nyumbani kwake bla kumpa infor mke wake so jamaa kufika kwa sababu na yeye anafunguo zake akaingia ndani,duh anamkuta mamsap amekunjwa style ya popo kanyea mbingu na yuleyule fundi seremala

Jamaa ikabidi awaambie waendelee kunjunjana fundi seremala akaoneka anaogopa sana lakini jamaa ikabidi amkomalie sana mpaka jamaa akapiz kisha baada ya hapo akamruhusu fundi seremala aondoke lakini yeye abaki na mke wake, jamaa akaenda kula kitaa baada then akarudi kujipumzisha sasa akawa anajifanyia kazi zake yeye mwenyewe kupika,kufua,kunyoosha na n.k mke akipika jamaa hali mke baada ya kuona ivyo ikabdi aondoke akaenda kwao wazazi wa binti wanampigia sim jamaa kumuuliza kwanini umemfukuza mkeo jamaa anasema mimi sijamfukuza mwambieni arudi hapa ni nyumbani kwake bado namuhitaji mke wangu,binti anaogopa kurudi na hawezi kuwaeleza ukweli wazazi wake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad