Jaji Mkuu "Hawa Wanaosema Kamata Weka Ndani inachangia Ongeleko la Magereza"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jaji Mkuu wa Tanzania, Ibrahimu Juma amesema kauli zinazotolewa zinazosema kamata weka ndani zinachangia ongeleko la wafungwa.

Jaji Juma alisema hayo wakati akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kuwaapisha mawakili 720 katika shule ya sheria jijini Dar es Salaam.

“Utasikia kamata weka ndani hayo yote yanachangia ongeleko la magereza tuache sheria ifanye kazi yake,” alisema

Alisema jambo hilo linatakiwa kuangaliwa ni kwamba siku hizi kuna mtindo wa kijamii mfano masuala ya mikataba, mkandarasi kushindwa kukamilisha kazi yake “Utasikia kamata weka ndani hizi zote zinachangia tuache masuala ya kijinai yaende kijinai na masuala yanayohusu mambo ya mikataba yaende kimkataba,”alisema
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad