AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ndiyo, watu hawajui nina kazi ambazo nimefanya mimi na nyingine nimewashirikisha wasanii, nimefanya kazi na Nandy pia nimefanya na Harmonize, niwatoe hofu mashabiki, kuna kazi zinakuja muda mfupi ujao,” alisema Nature.
Aidha, Nature alifunguka kuwa hana mpango wa kutoa albamu kutokana na soko lenyewe kwa sasa kuanzia utayarishaji wake hadi ifike sokoni. “Kwa sasa sijafikiria kutoa albam japokuwa albam ninayo imeandaliwa na ipo studio, lakini sijafikiria kuitoa kutokana na changamoto ya soko lenyewe kuwa gumu,” alisema Nature. Nature ni mmoja kati ya wasanii wakongwe ambao waliweza kutikisa na ngoma kali ikiwemo Mugambo, Mtoto Idd, Mikikimikiki, Zali la Mentali aliyoshirikishwa na Profesa Jay
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK