AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Damas Shaltiel ambaye ni Katibu wa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Jana Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi kadi ya CCM katibu wa mbunge Zitto wakati wa Kongamano lililoandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.
Waziri Mkuu Majaliwa alimpongeza kwa uamuzi alioufanya wa kukihama chama hicho na kujiunga na CCM.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK