Katibu wa Zitto Kabwe Atimkia CCM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Damas Shaltiel ambaye ni Katibu wa Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM).



Jana Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi kadi ya CCM katibu wa mbunge Zitto wakati wa Kongamano lililoandaliwa na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma.

Waziri Mkuu Majaliwa alimpongeza kwa uamuzi alioufanya wa kukihama chama hicho na kujiunga na CCM.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad