AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dada zangu sio kweli, mimi hupenda sana wanawake wanene, kwanza mwanamke mwenmbamba hanip mshawasha kabisaaaa- By hajanilee@yahoo.com
ReplyDeleteWewe mada utakaajjeVingunguti na sisi Mapeshee tuko Masaki ni Lazima Ubadilishe Anga!!
ReplyDelete