AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watuhumiwa hao ni Clive Rooney raia wa nchi ya Ireland Ross Stephen Chertsey , raia wa Uingereza pamoja na Robert Charles , raia wa Uingereza.
Tukio hilo lilitokea July 3, 2019 uwanja wa ndege wa Songwe, Watuhumiwa hao walikamatwa na maafisa wa usalama wa uwanja huo wa Songwe.
Madini hayo yalikuwa na uzito wa gramu 1,044.95. Ufuatiliaji unaendelea kufanywa na Kikosi kazi cha kamati ya usalama ya Mkoa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK