Serikali imefuta kesi 70 za Watuhumiwa katika gereza la Butimba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali imefuta kesi 70 zilizokuwa zinawakabili watuhumiwa mbalimbali waliokuwa kwenye gereza Kuu la Butimba ikiwepo kesi namba moja ya uhujumu uchumi namba moja ya mwaka 2019 ya utoroshaji wa dhahabu inayowakabili askari Polisi wanane mkoani Mwanza.

Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustino Mahiga, amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari Jijini Mwanza, leo Jumatano baada ya kutembelea magereza ya kanda ya Ziwa, ambapo katika Gereza la Butimba amekuta na mahabusu waliokaa kwa miaka mitano kutokana na upelelezi wa shauri kutokamilika.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad