Tukio la Kutaka Kutapeliwa Lampa Funzo Jokate

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tukio la Kutaka Kutapeli Lampa Funzo Jokate
MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa, tukio la mwanaume Omari Chuma kutaka kumtapeli lililomtokea hivi karibuni, limempa fundisho kubwa maishani.

Akizungumza na Amani, Jokate alisema kupitia tukio hilo amejifunza kutomuamini mtu yeyote hata kama atakuwa na maelezo ambayo yanaonesha kumjua sana. “Nimejifunza kwa kweli, sitamuamini mtu tena.

Nimeongeza umakini, nimejidhatiti pia katika suala la ulinzi,” alisema Jokate. Jamaa huyo alimuingia Jokate na kutaka kumtapeli hivi karibuni lakini hata hivyo alishtukiwa na kufikishwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama kwa hatua zaidi za kisheria.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad