AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Amani, Jokate alisema kupitia tukio hilo amejifunza kutomuamini mtu yeyote hata kama atakuwa na maelezo ambayo yanaonesha kumjua sana. “Nimejifunza kwa kweli, sitamuamini mtu tena.
Nimeongeza umakini, nimejidhatiti pia katika suala la ulinzi,” alisema Jokate. Jamaa huyo alimuingia Jokate na kutaka kumtapeli hivi karibuni lakini hata hivyo alishtukiwa na kufikishwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama kwa hatua zaidi za kisheria.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK